MADAKTARI VIJANA WATAKIWA KUBOBEA PIA KATIKA MAGONJWA YA NGOZI
Mmoja wa waratibu wa Semina ya madaktari kuhusu magonjwa ya ngozi, Jesinta Mboneko, akimkaribisha mmoja wa washiriki hiyo, Muuguzi katika hospitali ya Mbezi Medical Clinic inayojishughulisha na...
View ArticleMPAMBANO WA MASUMBWI KUFANYIKA MANYARA PARK 28/3/2015
Na Mwandishi Wetu Mabondia Julius Kisarawe kutoka 'Ndame Club' na Saidi Uwezo kutoka 'Mzazi GYM' watapanda uringoni march 28 kugombania ubingwa wa taifa wa kg 54 katika ukumbi wa manyara park uliopo...
View ArticleIMETOSHA
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries LTD,David Mgwassa (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza kuchangia kiasi cha shilingi milioni 10 kwa...
View ArticleKENYA AIRWAYS YAPUNGUZA SAFARI ZAKE TZ
CHANZO/BBC SWAHILIShirika la ndege la Kenya, Kenya Airways leo limeanza rasmi kupunguza safiri zake katika uwanja wa ndege wa Dar es Salaam kufuatia agizo la mamlaka ya anga ya Tanzania kuamuru shirika...
View ArticleANOTHER MAKAMUZI YA SUPER KAMANYOLA AT VILLA PARK MWANZA.
Weeee....!!Safu ya mbele mabibi na mabwana.Sistaz.Sutumukaa.Ngadu kwa ngudu....!!Shika kamata.Bass guitar.Keyboardiste.VwaalaKamata shikaaa.Wow..na Super Kamanyola.Kamatisha.Burudani inaendelea toka...
View Article'KING CLASS MAWE' APOTEZA MCHEZO WA KWANZA NAMIBIA
BONDIA IBRAHIMU CLASS ;King Class Mawe' mwenye rekodi ya namba moja nchini Tanzania na ni namba 216 kwa Dunia amepoteza mpambano wake wa kwanza nchini namibia kwa kupigwa kwa pointi na bondia Julius...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI YA KUCHANGIA UJENZI WA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akishiriki na kuongoza matembezi ya Hisani kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa Kanisa la Kigango cha Mt. Dominic Savio,...
View ArticleKWAAJILI YAKO...
“A Hungry Man Is Always An Angry Man”….Bob Marley(1945-1983) Haya ni maneno ya kifalsafa yaliyowahi kutamkwa na gwiji wa muziki wa Reggae hayati Robert Nestar Marley maarufu kama Bob Marley nayaita...
View ArticleYAMOTO BAND KUWA MWANZA JUMAMOSI YA MKESHA WA PASAKA
Katika kuikaribisha sikukuu ya pasaka wale vijana wanaojua kuitendea haki stage ya burudani Yamoto Band watakuwa jijini Mwanza wakimwaga burudani kwa wa wadau wa pande hizo husika. Sasa ili kupata kwa...
View ArticleSAFARI NYAMA CHOMA MOSHI - KILIMANJARO
Mkuu wa Wila ya Moshi, Novatus Makunga(kushoto) akimkabidhi kikombe mchoma nyama mkuu wa Bar Kill Home ya Moshi mjini, Said Gora mara baada ya kuibuka mabingwa katika mashindano ya Safari Nyama Choma...
View ArticleZITO KABWE ATIMKIA ACT
Chama cha ACT-Tanzania leo kimemtangaza aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kaskazini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Zitto Kabwe kuwa mwanachama mpya wa chama hicho kuanzia.Zitto amesema...
View ArticleSAFARI ZA KQ ZAREJESHWA
CHANZO/BBC SWAHILIHatimaye marais Uhuru Kenyetta wa Kenya na Jakaya Kikwete wa Tanzania wamekubaliana kufutilia mbali maagizo ya Mamlaka ya anga nchini Tanzania kupunguza idadi ya ndege za Kenya...
View ArticleWAFANYAKAZI WA AIRTEL WADHAMINI UJENZI WA DARASA LA SHULE YA WATOTO WA...
WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YA SIMU ZA MKONONI YA AIRTEL WAKIONGOZWA NA MKURUGENZI WA HUDUMA KWA JAMII BI ADRIANA LYAMBA KUBEBA MABATI KWA AJILI YA KUPAUA DARASA LITAKALOTUMIWA NA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHITIMISHA KILELE CHA MAADHIMISHO YA 27 YA WIKI YA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Balozi wa Ufaransa nchini, Malika Berak (wa pili kulia) wakikata utepe kwa pamoja kuashiria kuzindua rasmi mradi mkubwa wa...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATEMBELEA ENEO LA BUGURUNI KWA MNYAMANI...
Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznaia, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsikiliza mkandalasi wa ujenzi wa mtaro wa kupitishia maji machafu wakati alipotembelea eneo la Buguruni kwa Mnyamani...
View ArticleSTARS KUTUA MWANZA KESHO ASUBUHI KWAAJILI YA KUIVAA MALAWI JUMAPILI
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars ) chini ya kocha wake Mart Nooj, inatarajiwa kuwasili kesho (Jumanne) jijini Mwanza kwaajili ya maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa kirafiki wa kimataifa...
View Article