AHMED JONGO AHITAJI MSAADA WA MATIBABU.
Mtangazaji mstaafu mashuhuri wa mpira toka Radio Tanzania Ahmed Jongo ahitaji msaada wa matibabu ya maradhi ya miguu na macho.
View ArticlePICHA ZA PRE WEDDING YA ERICK NA DIANA
Ni moja kati ya angle za picha kuelekea harusi ya Bwana Erick aliyefunga pingu za maisha na Bi. Diana tarehe 26 Dec 2015 mkoani Mwanza.We share...Let the world C.Nani kaona?Some were karibu na Airport...
View ArticleMEYA AMUAGIZA MKURUGENZI KUWABANA WAZABUNI NA VIKUNDI VYA USAFI KUONDOA TAKA,...
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza James Bwire.Na PETER FABIAN, MWANZA.MEYAwa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, James Bwire, amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Adam Mgoyi, kuwasimamia...
View ArticleWABUNGE MWANZA WAMTAKA WAZIRI SIMBACHAWENE KUANDA UTARATIBU UTEKELEZAJI AHADI...
Maria Kangoye, Mbunge kupitia Kundi la Umoja wa Vijana wa CCM taifa.Na PETER FABIAN, MWANZA.WABUNGEwamuomba Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Utumishi na Utawala Bora, Geroge Simbachawene , kuandaa...
View ArticleRAIS AFANYA UTEUZI WA MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU WAKE.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU Simu: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Tovuti : HYPERLINK "http://www.ikulu.go.tz"www.ikulu.go.tz Faksi:...
View ArticleSERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WAKIMBIZI WAINGIAO KINYUME CHA SHERIA.
Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa aviagiza vyombo vya ulinzi na usalama mkoani kigoma kumchukulia sheria mkimbizi yoyote atakayekutwa nje ya kambi kinyume cha sheria.
View ArticleMABOMU YA MACHOZI YARINDIMA DAR ES SALAAM.
Polisi Dar es salaam yatumia mabomu ya machozi kutawanya wananchi wa mabondeni baada ya kupinga nyumba zao kuwekewa alama za X.
View ArticleMWANZA MWAKA MPYA 2016 TUNAUKARIBISHA HAPA.
Tushaianza safari ya kuhesabu saa chache zilizosalia hatimaye kutinga mwaka mpya 2016 na sasa ni vyema kukitambulisha kiwanja ambacho wana Mwanza wakiwa pamoja na wageni wao watakapokwenda kukutana na...
View ArticleHAYA NI BAADHI TU YA MATUKIO YA KIMICHEZO YALIYOTIKISA NCHINI TANZANIA KWA...
KAMA UMEKOSA MATUKIO MAKUBWA AMBAYO TASNIA YA MICHEZO TZ HAIWEZI KUSAHAU KWA MWAKA HUU KUPITIA **SPORTS RIPOTI** 93.7 JEMBE FM. BASI HILI NI MOJA WAPO. BOFYA PLAY KUSIKILIZA.March 14, 2015 ndio Kocha...
View ArticleDROO YA NNE ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" ya GAPCO yafanyika...
Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi (katikati) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya nne ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" inayowawezesha wateja wake...
View ArticleKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MAFUNZO YA AWALI KWA...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akizungumza na washiriki wa Mafunzo ya awali kwa Watumishi wa Mkataba wa Idara ya Huduma kwa Wakimbizi(hawapo pichani),wakati...
View ArticleSPORTS RIPOTI IKIENDELEA MWANASPORTS ELIKANA MATHIAS ANASHEREHEKEA KUZALIWA...
Ukivuka haya maji basi utakutana nasi....kwenye bonge la party....kuukaribisha mwaka mpya 2016 BOFYA PLAY KUSIKILIZA MATUKIO YA MWAKA MICHEZONI.
View ArticleMAKOCHA WA TIMU YA TAIFA KUENDELEA KULIPPWA MISHAHARA NA SERIKALI.
Serikali imetoa tamko kuwa itaendelea kuwalipa mishahara makocha wote wa timu za taifa
View ArticleKAMISHNA KOVA ASTAAFU KULITUMIKIA JESHI LA POLISI.
Kamishna Suleiman Kova aliyekuwa mkuu wa kanda maalumu ya Dar es Salaam amestaafu kulitumikia jeshi la polisi.
View ArticleKAGAME ATANGAZA KUWANIA MUHULA WA TATU.
Rais wa Rwanda Paul Kagame ametangaza kwamba atawania urais kwa muhula wa tatu baada ya muhula wake wa sasa kumalizika 2017.Kiongozi huyo alitoa tangazo hilo kwenye ujumbe wake wa mwaka mpya mnamo...
View ArticleMAGAZETI YA JANUARY 2 YANA HABARI HIZI.
Makatibu wapya waingia kazini Magufuli awasainisha hati ya maadili ya utumishi wa Umma, Kardinali Pengo alazwa. Pata dondoo hapa.
View ArticleLEO NI BIRTHDAY YA DR. JEMBE
4 sure you have been inspirational to all of us.. Si juhudi zako pekee, moyo wa upambanaji, usikivu pamoja na utii bali pia msimamo wa ujasiri ulionao katika kuhakikisha safari ya vijana wenzako katika...
View ArticleIRENTE VIEW POINT LUSHOTO TANGA, MOJA YA KIVUTIO AMBACHO WATU WENGI...
Hapa ndipo kileleni na Mwonekano wa Irente Hii ni Miamba mikubwa iliyopo Irente na moja ya kivutio kikubwa katika eneo hili kwa upande kwa Kushoto.Eneo hili wakazi wa Irente wanaliita Pango ambapo...
View ArticleUTENDAJI WA WAANDISHI WA HABARI MWAKA 2015
Kutana na mwenyekiti wa waandishi wa habari wanaoandika habari za masuala ya madawa ya kulevya mkoani Mwanza Edwin Soko, pamoja na mwandishi wa kituo cha redio ya Chuo cha SAUT Martin Mnyoni...
View Article