WIZARA YA MAJI NA UMWAGILIAJI YASHTUSHWA NA KASI YA DAWASCO
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Maji safi na Maji taka Dar es Salaam (DAWASCO) Mhakndisi Cypian Luhemeja akiongozana na Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji ,Mhandisi Mbogo Mfutakamba...
View ArticleBREAKING NEWS KESI YA KIWIA KUPINGA MATOKEO JIMBO LA ILEMELA YAFUTWA
Wakili Mutabaazi wa Mbunge Angelina Mabula (mwenye suti nyeusi) akiwa na Katibu wa Ofisi ya Mbunge Jimbo la Ilemela Kheri James wakati wa kutoa ufafanuzi wa uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza...
View ArticleRAIS MAGUFULI AMTEMBELEA SUMAYE HOSPITALI.
Rais Magufuli amtembelea na kumjulia hali waziri mkuu mstaafu Fredrick Sumaye ambaye amelazwa katika taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete Dar es Salaam.
View ArticlePATA SIMULIZI YA TUZO ZA BALLON D'Or ZINAZOFANYIKA LEO USIKU.
Mmoja kati ya miyamba ya soka duniani,Lionel Messi,Christiano Ronaldo au Neymar huenda akatawazwa kuwa mshindi wa tuzo la Ballon d'Or,tuzo linalopewa mchezaji bora duniani. BOFYA PLAY KUSIKILIZA...
View ArticleTANESCO MARUFUKU KUNUNUA NGUZO ZA UMEME NJE YA NCHI.
Matumizi Ya Nguzo Za Umeme Toka Kwa Wawekezaji Wa Ndani.Serikali imelitaka shirika la umeme nchini TANESCO kuacha kununua nguzo za umeme kutoka nje ya nchi badala yake zinunue nguzo hizo kutoka katika...
View ArticleMWANZA KIMENUKA:- SASA MAFURIKO NI KATIKATI YA JIJI.
Mvua zilizonyesha leo kwa takribani muda wa saa kadhaa mkoani Mwanza zime leta maafa haya jijini hapa...hata kuharibu mali za wafanyabiashara na hata kusomba vyombo vya usafiri na mali za wadau.Wakati...
View ArticleNAIBU WAZIRI ANTHONY MAVUNDE AZINDUA AIRTEL FURSA TUNAKUWEZESHA MSIMU WA PILI...
Naibu Waziri wa Kazi Vijana na Ajira, Athony Mavunde (wa pili kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Simu ya Airtel Tanzania, Sunil Colaso (katikati), na Mshauri wa mradi wa Airtel Fursa...
View ArticleMCHUMIATUMBO ASAINI KUPIGANA NA BENK MWAKALEBELA JANUARY 30
Bondia Alphonce Mchumiatumbo kushoto akipokea mkataba alio saini kutoka kwa Rais waKamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC), Chaurembo Palasa kwa ajili ya kupambana na Benk Mwakalebela wa Mbeya...
View ArticleMESSI ANYAKUA TUZO YA BALLON D'Or KWA MARA YA TANO/LIONEL MESSI HAS WON THE...
Messi on his "special moment"Lionel Messi is (obviously) delighted to win the trophy again.“It’s a very special moment to be back here, winning another Ballon d’Or,” he says.“Especially after watching...
View ArticleMAALIM SEIF AVUNJA UKIMYA.
Katibu mkuu wa CUF Maalim Seif, avunja ukimya na kuzungumzia kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar huku akitoa msimamo wa chama chake. WAKATI HUO HUO...Serikali ya Zanzibar Yatoa TahadhariSerikali ya...
View ArticleUCHAGUZI WA ZANZIBAR KURUDIWA HIVI KARIBUNI, RAIS MAGUFULI AMTEMBELEA SUMAYE...
Uchaguzi wa Zanzibar kurudiwa hivi karibuni, Rais Magufuli amtembelea Sumaye Muhimbili. Pata dondoo za magazeti ya leo hapa.
View ArticleUHURU MAANA YAKE NI NINII? SHEIKH ABEID AMANI KARUME
Wakati Zanzibar ikiwa katika maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi yake yaliyoiondoa madarakani Serikali ya Zanzibar iliyokaa madarakani siku chache. Mapinduzi yaliyofanyika Januari 12,1964. Huku ikiwa...
View ArticleWAZIRI UMMY MWALIMU ATEMBELEA HOSPITALI YA PERAMIHO SONGEA.
Waziri Ummy Mwalimu akisalimiana na Padri Lucius wa hospitali ya Peramiho Mheshimiwa Ummy Mwalimu akizungumza na Mganga Mfawidhi wa hospitali ya Peramiho, Dr Venance Mushi, alipotembelea hospitali...
View ArticleNDANI YA KIPINDI CHA HIT ZONE SAA 7 HADI 10 MB DOGGY KUSIKIKA.
Usikose kusikiliza #HITZONE 93.7 Jembe Fm. Mb Doggy amefunguka mengi......Mara ya kwanza anavuta bangi ilikuwaje?Alishawahi kwenda kwenye show ikabuma?Tune Jembe Fm right now ukiwa na @nattyebrandy...
View ArticleBOMOA BOMOA SASA YAHAMIA MWANZA.
Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu muungano na mazingira aiagiza NEMC na halmashauri ya jiji la Mwanza kubaini waliojenga mabondeni.
View ArticleFILAMU YA JENNIFER MGENDI 'WEMA NI AKIBA' YAKAMILIKA.
Filamu ya Wema ni akiba yake mwanamama Jennifer Mgendi imekamilika. Akiongea na blogu hii Jennifer amesema filamu hiyo ambayo imewashirikisha wasanii na watumishi mbalimbali ni stori inayomhusu kijana...
View ArticleWANANCHI WA PICHA YA NDEGE WILAYANI KIBAHA WAGOMEA KULIPIA ONGEZEKO LA KODI...
NA VICTOR MASANGU, KIBAHAWANANCHIwa eneo la mtaa wa Picha ya ndege Wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani wamegomea kulipia ongezeko la kodi ya majengo kutokana na kuongezewa kodi hiyo kwa kiwango kikubwa...
View ArticleMWILI WA LETICIA NYERERE KUWASILI MUDA WOWOTE.
Aliyewahi kuwa mbunge wa Viti Maalumu CHADEMA, Marehemu Leticia Nyerere Kwa ufupiKwa mujibu wa wanafamilia ya Mwalimu Julius Nyerere, mwili huo unatarajiwa kuwasili nchini baada ya utaratibu wote...
View ArticleDkt Shein ATHIBITISHA UWEPO WA MARUDIO YA UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR.
Rais wa Zanzibara Dkt. Mohammed Shein amethibitisha kufanyika kwa marudio ya uchaguzi mkuu baada ya uchaguzi huo kufutwa mwaka jana.
View ArticleDIRECTOR SHAIBU ATAMBULISHA NGOMA YAKE MPYA 'OKOLILE AMAIZZING'
Mkali wa muziki wa Bongo fleva toka Mwanza, Director Shahibu hatimaye ameachia ngoma yake nyingine mpya inayokwenda kwa jina la Okolile Amaizzing.Natty E mwanadada mtangazaji wa show ya mchana kipindi...
View Article